Somo La Kumi Na Saba

 

Sura nyingine tukufu sana katika Kuruani ni Sura ya   yaani ya Mtakaso, kumtakasa Mwenyezi Mungu na kila ushirikina. Hii ni sura fupi mno, lakini inakata mzizi wa kumshirikisha Mwenyezi Mungu wa pekee na chochote.


Kwa jina la Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu

1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu mmoja tu

2. Mwenyezi Mungu Mhitajiwa milele

 

3. Hakuzaa wala hakuzaliwa
Wala hana anayefanana naye



Tumesema kuwa baada ya masomo kumi na tano mtu anaweza kusoma popote katika Kuruani.
Jaribu kusema Aya hii kutoka:  

Kauli njema na kusamehe ni bora kuliko sadaka inayofuatishwa na maudhi. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mkwasi na Mpole.



Na jaribu kusoma na kuifahamu Aya hii ya

Mwenyezi Mungu hapendi kutoa maneno ya kutangaza ubaya ila kwa yule mwenye kudhulumiwa na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kusikia, Mjuzi.

 

 



Kabla ya kumaliza mafunzo ya kijitabu hichi yafaa tuzinduane juu ya alama za kusita katika kusoma: Yafaa kusita mwisho wa kila Aya. Na mwisho wa Aya unaonyeshwa kwa alama ya duara  (3)  .
Unaweza kusita kila penye alama hizi:
Ama ukiona imeandikwa  basi kusita ni lazima.
ukiona imeandikwa   basi hapana ruhusa kusita hapo.
Mwanzo wa Sura kadhaa wa kadhaa huanziwa kwa harufi za "alifbete", na hizo hutamkwa harufi moja moja. Harufi hizo hazitiwi Irabu, laklni hutiwa harufi ya kuvuta - MAADA ikihitajiwa . Nazo ni:


        Husomwa        


       Husomwa    

       
         Husomwa       
 

   Husomwa         
 

    Husomwa
 

 Husomwa        
 

     Husomwa
 

Husomwa         
 

  Husomwa           
 

 Husomwa         
 

Husomwa         
 

Husomwa         
 

 Husomwa         
 

Husomwa